Baadhi ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CUF nafasi za wanawake, mara baada ya kutangazwa kushika nafasi hiyo.
Mgombea nafasi ya Mwenyekiti wa CUF Taifa Prof. Ibrahim Lipumba akimpongeza Bi. Amina Abdallah Said, baada ya kuchaguliwa kuwa mjumbe wa mkutano mkuu Taifa kupitia nafasi za wanawake Wilaya ya Mkoani Pemba
Mgombea nafasi ya Ukatibu Mkuu CUF Taifa Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad akimpongeza Bi. Amina Abdallah Said, baada ya kuchaguliwa kuwa mjumbe wa mkutano mkuu Taifa kupitia nafasi za wanawake Wilaya ya Mkoani Pemba
No comments:
Post a Comment