Habari za Punde

Dk Shein ashiriki futari iliyoandaliwa na Makamo wa Rais Dk Bilal





 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa pili kushoto) akijumuika na Waislamu na Viongozi mbali mbali katika futari iliyoandaliwa na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilali jana katika viwanja vya Ofisi ya Makamo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,(wa kawanza Kushoto) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Omar Kabi   [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] 
 Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilali akimkaribishaRais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein jana alipowasili katika futari aliyowandalia wananchi mbali mbali na Viongozi katika viwanja vya Ofisi ya Makamo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] 
 Wananchi walioalikwa katika futari iliyoandaliwa na Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jana katika viwanja vya Ofisi ya Makamo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja,wakijumuika kwa pamoja.[Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] 
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Mohamed Gharib Bilali ,Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein pamoja na Viongozi na wananchi wakijumuika katika swala ya Magharibi jana kabla ya futari iliyoandaliwa na jana   katika viwanja vya Ofisi ya Makamo Tunguu Mkoa wa Kusini Unguja, [Picha na Ramadhan Othman Ikulu.] 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.