Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwa katika futari ya pamoja na Masheikh mbali mbali wa Zanzibar nyumbani kwake Mbweni.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akisalimiana na baadhi ya Masheikh na viongozi wa dini ya kiislamum waliofika katika futari ya pamoja
Picha na Salmin Said OMKR
BARRICK YADHAMINI KONGAMANO LA AIESEC CHUO CHA UHASIBU ARUSHA
-
Na Mwandishi wetu, Arusha
KAMPUNI ya Barrick nchini, imedhamini na kushiriki katika kongamano la
wanafunzi wa vyuo vikuu lililoandaliwa na taasisi ya kuc...
7 hours ago
Picha za futari ya Saturday za Bwawani za PBZ Ltd zipo wapi jamani???
ReplyDelete