Habari za Punde

Semina ya Waandishi na Maofisa wa Habari yafanyika nchini China

 MAOFISA Habari na Waandishi kutoka Nchi za Afrika zinazozungumza Kiigereza wakimsikiliza wakisikiliza Mada ya kuhusu Maendeleo ya Nchi ya China kutoka kwa  Deputy Administrator of China Foreing Languages Publishing Administration. Ndg. Huang Youyi, akitowa mada yake katika Semina hiyo ya Wiki Mbili inayofanyika katika ukumbi wa hoteli ya 21st Century Beijing China(Picha na Othman Maulid) 

WAANDISHI habari wakimsikiliza Mkurugenzi Ndg Ding Xiaoming, akifungua mafunzo hayo ya Wiki Mbili Mjini Beijing China leo 22/7/2014




Mada ya kuhusu Maendeleo ya Nchi ya China ikitolewa na Deputy Administrator of China Foreing Languages Publishing Administration. Ndg. Huang Youyi, akitowa mada yake katika Semina hiyo ya Wiki Mbili inayofanyika katika ukumbi wa hoteli ya 21st Century Beijing China(Picha na Othman Maulid) 


MKURUGENZI wa Kituo cha Mafunzo cha cha Baraza la Taifa (SCIO) Ndg. Ding Xiaoming, akifungua Semina ya Maofisa wa Habari na Waandishi wa habari wa Nchi za Afrika zinazozungumza lugha ya Kiingereza, ufunguzi wa Semina hiyo umefanyika katika ukumbi wa hoteli ya 21st Century Beijing,leo na kuwashirikishwa waandishi wa nchi za Afrika 10 .(Picha na Othman Maulid)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.