Uwanja wa Kufurahishia Watoto Kariakoo ukiwa tayari takribai asilimia nyingi kutokana na kuendelea na ufungwaji wa pembea katika uwanja huo na kutia matumaini Watpto wetu mwaka huu watakumbukia enzi zile za uwanja huu kwa burudani za pembea mbalimbali na huduma nyengine za michezo ya watoto kiwanjani hapo.
WIZARA YA NISHATI KUJA NA MPANGO WA KUNADI VITALU VYA UTAFUTAJI WA GESI NA
MAFUTA NCHINI
-
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati anayeshughulia Mafuta na Gesi Dkt
James Mataragio akizungumza wakati alipofungua Kikao cha Pili cha Mkutano
wa Pil...
52 minutes ago
A/A huu uwanja ni wa serikali au ushabinfsishwa?, au anaeutengeneza ni mfadhili gani?
ReplyDelete