Chama cha Wanasheria Zanzibar kitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari leo tarehe 27-08-2014 saa nne asubuhi katika Ukumbi wa Watu wenye Ulemavu uliopo Wailes, Zanzibar kuzungumzia kadhia ya Wazanzibari wanaokamatwa, kusafirishwa na kufunguliwa kesi nje ya Zanzibar na mambo mengineyo yaliyojitokeza kuhusiana na kadhia hii.
Tusiwatenge Wala Kuwanyanyapaa Watoto Wenye Usonji - MAJALIWA
-
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa jamii ya Watanzania kuacha
kuwanyanyapaa watoto na watu wanaoishi na Usonji, magonjwa ya mfumo wa
fahamu ...
39 minutes ago
No comments:
Post a Comment