Chama cha Wanasheria Zanzibar kitafanya Mkutano na Waandishi wa Habari leo tarehe 27-08-2014 saa nne asubuhi katika Ukumbi wa Watu wenye Ulemavu uliopo Wailes, Zanzibar kuzungumzia kadhia ya Wazanzibari wanaokamatwa, kusafirishwa na kufunguliwa kesi nje ya Zanzibar na mambo mengineyo yaliyojitokeza kuhusiana na kadhia hii.
PURA, ZPRA zajivunia miaka mitatu ya mashirikiano
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na
Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya
Zanzibar z...
8 minutes ago
No comments:
Post a Comment