Mtaa wa historia katika mji mkongwe wa Zenj na unaoongoza kwa biashara ya Vivutio vya Utalii Zanzibar na hutembelewa na wageni mbalimbali wanaofika Unguja bila ya kutembea mji mkongwe hukufika Unguja na kujionea jinsi ya Wananchi wa enzi hizo walivyokuwa wakitumia mitaa hiyo kwa usafiri wa baskeli kila dakika baskeli hiyo na kusikia kengele kingo.
MHE. RAIS SAMIA APONGEZWA KUTEKELEZA MKAKATI WA TAIFA WA NISHATI SAFI YA
KUPIKIA KWA VITENDO
-
-Mitungi ya gesi 330 kugaiwa bure kwa Watumishi Magereza Simiyu
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
amepongezwa kwa kute...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment