MKUU wa
Mkoa wa Kusini Pemba, Mhe:Juma Kassim Tindwa mwenyeshati nyeupe, akimkabidhi
matufali 1000, Mwalimu Mkuu wa skuli ya Msingi Alkhamis Camp Eugene Rutegengwa,
ikiwa ni utekelezaji wa ahadi iliyotolewa na makamo wa Pili wa Rais wa
Zanzibar, Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, alipoitembelea skuli hiyo mwezi Januari
mwaka huu.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
PURA, ZPRA zajivunia miaka mitatu ya mashirikiano
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na
Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya
Zanzibar z...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment