KUWEPO kuwa Umeme wa Uhakika kisiwani Pemba Kutoka
Mkoani Tanga kupitia Chini ya Bahari, tayari wananchi waishio katika visiwa
Vidogo Vidogo wamekuwa wakinufaika na huduma hiyo, Pichani nguzo za Umeme
zilizoko katika ya bahari kutoka likoni kuelekea katika kisiwa cha Kojani
Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA.)
PURA, ZPRA zajivunia miaka mitatu ya mashirikiano
-
Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) ya Tanzania Bara na
Mamlaka ya Uthibiti, Utafutaji na Uchimbaji wa Mafuta Zanzibar (ZPRA) ya
Zanzibar z...
29 minutes ago
No comments:
Post a Comment