Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi ya Bunge Maalum Mhe. Andrew Chenge (mjumbe) akiongoza kikao cha kamati hiyo jana ambapo kamati hiyo inamalizia uandishi wa Katiba pendekeze inayotarajiwa kuwasilishwa Bungeni Jumatatu wiki hii. Kamati hiyo inachambua maoni ya taarifa za Kamati pamoja na michango ya Wajumbe wakati wa Mjadala na kuyaweka maoni hayo pamoja na kisha kuandaa katiba inayopendekezwa.
WAHITIMU MAFUNZO YA JKT KWA MUJIBU WA SHERIA WASISITIZWA UZALENDO
-
Na Elizaberth Msagula,Lindi
VIJANA waliohitmimu mafunzo ya awali ya kijeshi ya jeshi la kujenga Taifa
(JKT) wamehimizwa uzalendo,uaminifu na uadilifu k...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment