Na Mwandishi wetu
ASKARI wa usalama barabarani,
PW 2806 Koplo Riziki, amefariki dunia baada ya kugongwa na gari katika maeneo
ya Mbagala rangi tatu.
Askari huyo aligongwa akiwa
katika jitihada za kusimamisha daladala inayofanya safari zake kati Temeke na
Mbagala Chalambe.
Baada ya kugongwa alipelekwa
hospitali ya Temeke kwa matibabu na baadae kuhamishiwa Muhimbili, ambako
alifariki dunia.
No comments:
Post a Comment