Mnazi wa ajabu ukiwa katika moja ya eneo la Zanzibar na kuwa kivutio kwa Wageni wanaofika kuuangalia mnazi huo katika moja ya Wilaya za Magharibi Unguja, Ukiwa na pacha tatu za mnazi huo na zote zimetoa madafu kama unavyoonekana pichani ukiwa umenawiri. Unaweza kuujua uko wapi mnazi huu kazi kwako.
Benki ya CRDB yakabidhi madarasa Sekondari ya Kikilo, Shule ya Msingi
Isabe, Kondoa
-
Benki ya CRDB kupitia sera yake ya uwekezaji kwa jamii, Aprili 24 - 25,
2024 ilikabidhi madarasa mawili katika Shule ya Sekondari Kikilo na
madarasa mengi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment