MKUU wa Shirika la Magazeti ya Serikali ofisi ya Pemba, linalochapisha magazeti ya Zanzibar leo, Zanzibar leo Jumapili na Zaspoti, Bakari Mussa Juma, akipokea Cheti cha Uwandishi wa habari za mamlaka ya mapato Tanzania ofisi ya Pemba (TRA), kutoka kwa mdhamini wa Mamlaka hiyo Habibu Salehe Sultani. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
Wafanyakazi Manyara walia na kikotoo, mshahara mdogo.
-
Na John Walter -Manyara
Wafanyakazi wameiomba serikali kushughulikia changamoto waliyonayo kwa muda
mrefu juu ya kikokotoo cha mafao pindi wanapostaafu....
1 hour ago
No comments:
Post a Comment