KATIBU mkuu Wizara ya Kilimo na Mali asili Zanzibar,
Mhe:Afani Othman Maalim akimfahamisha jambo Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar
Mhe:Balozi Seif Ali Iddi, wakati alipotembelea shamba la mboga mboga la kikundi
cha Wengi Wape Uwandani Vitongoji Chake Chake Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
MAKAMO wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akimuuliza jambo Katibu Mkuu wizara ya Kilimo na Maliasili Zanzibar
Mhe:Afani Othman Maalim, wakati alipotembelea shamba la mboga mboga la kikundi
cha Wengi Wape cha Uwandani Vitongoji Chake Chake Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa, Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Wilaya ya Micheweni Mhe:Jabu Khamis Mbwana, wakati
alipowasili katika Tawi la CCM Jiheshimu Mnarani Kigomasha.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akikunjuwa kitamba kuashiria uwekaji wa jiwe la Msingi, Tawi la CCM
tuheshimiane Mnarani Makangale Wilaya ya MIcheweni Kisiwani Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
KATIBU wa CCM Mkoa wa Kaskazini Pemba, Abrahman
Makame akimpatia malezo ya Ujenzi wa Maskani ya Profesa Jakaya Kikwete huko
Chekea Mtambwe Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
MJUMBE wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akimuangalia Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Raiza wa
Zanzibar Mhe:Mohamed Aboud, aliyekaa kitako katika maskani ya Mhe:Profesa
Jakaya Kikwete. (Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA)
MJUMBE wa kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, katikati akiwa amekaa kitako katika Maskani ya Mhe:Profisa Jakaya
kikwete, kushoto ni waziri wa Nchi Ofisi ya Makamo wa Pili wa Rais wa
Zanzibar,Mhe:Mohammed Aboud Mohammed na kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini
Pemba, Mhe:Omar Othman Khamis. (Picha na
Abdi Suleiman, PEMBA)
MJUMBE wa kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, katikati akiwa amelala katika Maskani ya Mhe:Profisa Jakaya kikwete,
baada ya kuitembelea kuikagua maskani hiyoo huko Chekea Mtambwe Mkoa wa
Kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA)
MJUMBE wa kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akipokea zawadi ya ndizi aina ya mkono Mmoja, kutoka kwa Mwenyekiti
wa CCM wilaya ya Wete Kombo Hamad Yussuf katikaki.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)
MJUMBE wa kamati Kuu ya CCM Taifa Mhe:Balozi Seif
Ali Iddi, akimkabidhi katiba zilizopendekezwa na Bunge la Katiba, Mwenyekiti wa
CCM wilaya ya Wete Kombo Hamad Yussuf, ambazo Aprili mwakani wananchi
wataipigiakura.(Picha na Abdi Suleiman,
PEMBA)
No comments:
Post a Comment