Habari za Punde

Mchezo wa kirafiki kati ya Timu ya Simba na Taifa ya Jangombe Wakombozi wa Ngombu, Timu ya Simba imeshinda 3--1


Beki wa timu ya Taifa ya Jangombe,Hassan Ishaka  akimzuiya mshambuliaji wa timu ya Simba Yussuf Baraka, katika mchezo wa kirafiki wa kumuenzi Rais wa Timu ya Taifa ya Jangombe  Marehemu Maulid Hamad, uliofanyika katika uwanja wa Amaan,timu ya Simba imetoka na ushindi wa mabao 3-1.   







No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.