Beki wa timu ya Taifa ya Jangombe,Hassan Ishaka akimzuiya mshambuliaji wa timu ya Simba Yussuf Baraka, katika mchezo wa kirafiki wa kumuenzi Rais wa Timu ya Taifa ya Jangombe Marehemu Maulid Hamad, uliofanyika katika uwanja wa Amaan,timu ya Simba imetoka na ushindi wa mabao 3-1.
Rais na Mgombea wa nafasi ya Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan
apiga Kura katika Kituo cha Ofisi ya Kijiji Chamwino mkoani Dodoma
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambaye pia ni Mgombea wa nafasi ya
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM)
M...
30 minutes ago

No comments:
Post a Comment