Beki wa timu ya Taifa ya Jangombe,Hassan Ishaka akimzuiya mshambuliaji wa timu ya Simba Yussuf Baraka, katika mchezo wa kirafiki wa kumuenzi Rais wa Timu ya Taifa ya Jangombe Marehemu Maulid Hamad, uliofanyika katika uwanja wa Amaan,timu ya Simba imetoka na ushindi wa mabao 3-1.
Kamati ya Bunge yaridhishwa na maelekezo wanayotoa kwa DART
-
*DART yaahidi kufanyia kazi maelekezo mengine kiutendaji
Na Chalila Kibuda, Michuzi TV
Kamati ya Bunge ya Kudumu ya TAMISEMI imesema kuwa imeridhishwa ma...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment