Habari za Punde

Mama Asha Balozi Akabidhi Vifaa vya Michezo na Vikundi vya Ushirika Pemba.

Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Zanzibar,Ndg. Shaka Hamdu Shaka akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi vifaa mbali mbali kwa ajili ya vikundi vya ushirika, na michezo vilivyotolewa na Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mama Asha Suleiman Idd, iliofanyika katika ukumbi wa Skuli ya Fidel Castro Chake Chake Pemba
Mke wa Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mama Asha Suleiman Iddi, akimkabidhi mmoja wa kiongozi wa timu za mpira wa miguu kisiwani Pemba, makabidhiano hayo yamefanyika katika katika ukumbi wa skuli ya Fidel Castro chakechake Pemba. 
Baadhi ya vijana chipukizi wa CCM wakimsikiliza mke wa makamu wa pili wa rais wa Zanzibar Mhe Balozi Sief Ali, mama Asha Suleiman Idd, kwenye hafla ya kukabidhi vifaa mbali mbali kwa ajili ya vikundi vya ushirika, iliofanyika skuli ya Fidel Castro Chake Chake Pemba

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.