Habari za Punde

Uzinduzi wa kuadhimisha Sherehe za miaka 38 ya CCM

  Baadhi ya wanaCCM waliohudhuria katika mkutano wa uzinduzi wa kuadhimisha sherehe za kutimia miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM wakimsikiliza Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzinzibar pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akizungumza nao leo katika uwanja wa wa Gombani Wilaya ya Chake chake Pemba leo.[Picha na Ikulu.] 


Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzinzibar pia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na wananchi na WanaCCM wa Mikoa ya Pemba katika uzinduzi wa kuadhimisha sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM katika uwanja wa Gombani Wilaya ya Chake chake Pemba leo.[Picha na Ikulu.]
 



 
KATIBU mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania Mhe:Abrahman Kinana akisalimiana na viongozi wa CCM, wakati alipowasili katika uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chake Chake kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MKE wa Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe: Mama Asha Suleiman Iddi katika, kulia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Mhe: Pandu Ameir Kificho wakimsikiliza kwa makini Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe:Dk Ali Mohammed Shein alipokuwa akizindua sherehe za Miaka 38 ya Kuzaliwa kwa CCM, huko katika kiwancha cha Gombani yaq kale kisiwani Pemba. .(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
VIJANA wadogo wa Chama cha Mapinduzi wakinyajua juu bango linalomuonyesha muasisi wa CCM Tanzaia, ambaye pia ni Rais wa Kwanza wa Tanzania Marehemu Mwalimu Juliasi Kambarage nyerere, huko katika sherehe za kutimiza miaka 38 kuzaliwa kwa CCM.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MAKAMO mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar,Mhe:Dk Ali Mohammed Sheina akisalimiana na viongozi mbali mbali wa CCM wakati alipowasili katika uwanja wa Gombani ya Kale Pemba, kabla ya kuzindua sherehe za miaka 38 ya kuzaliwa kwa Chama Cha Mapinduzi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MAKAMO mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Ali Mohammed Shein, akisalimiana na Mke wa makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe:Mama Asha Suleiman Iddi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Gombani ya Kale kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MAKAMO mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Ali Mohammed Shein, katikati akiwapigia makofi wananchi kulia ni Katibu Mkuu wa CCM Tanzaia Mhe; Abrahman Kinana .(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
NAIBU katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Mhe:Vuai Ali Vuai akibadilishana mawazo na Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Mhe:Abrahman Kinana wakati wakiwa katika uwanja wa Gombani ya kale kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
MAKAMO mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar, Mhe:Dk Ali Mohammed Shein, akibadilishana mawazo na Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Mhe:Abrahman Kinana wakati wakiwa katika uwanja wa Gombani ya kale kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
VIJANA Chipkizi wa mikoa miwili ya Pemba, akinyanyaua juu picha ya mwasisi wa TANU, marehemu Mwalimu juliaus Kambarage Nyerere akibadilishana mawazo na Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Mhe:Abrahman Kinana wakati wakiwa katika uwanja wa Gombani ya kale kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

 
VIJANA Chipkizi wa mikao miwili ya Pemba, akinyanyaua juu picha ya mwasisi wa Mpinduzi ya Zanzibar ya Mwaka 1964, huko katika sherehe za kuzaliwa kwa ccm gombani ya kale kisiwani Pemba VIJANA Chipkizi wa mikao miwili ya Pemba .(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.

 
VIJANA Chipkizi wa mikoa miwili ya Pemba,akinyanyua juu picha ya Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia ni Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe:Dk Jakaya Mrisho Kikwete huko katika Sherehe za kuzaliwa kwa CCM kutimia miaka 38 kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.



 
MJUMBE wa Halmashauri kuu ya CCM Taifa, ambaye pia ni spika wa Baraza la Wawakilishi zanzibar Mhe:Pandu Ameir Kificho, akiwasalimia wanaccm wa Mikoa Miwili ya Pemba, Katika sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.


 
KATIBU mkuu wa CCM Tanzania Mhe:Abrahman kinana akizungumza na wanaCCM wa mikoa miwili ya Pemba katika sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM, huko katika uwanja wa gombani ya kale kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.


MAKAMO mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi Zanzibar Mhe:Dk Ali Mohammed Shein akizungumza na wanachama wa chama cha Mapinduzi wa Mikao miwili ya Pemba, katika hafla ya uzinduzi wa sherehe za kutimiza miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM huko katika uwanja wa Gombani ya kale Wilaya ya Chake Chake Pemba. (Picha na Abdi Suleiman, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.