Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na Balozi wa Saudi Arabia Nchini Tanzania Hani Bin Abdulla Mominah leo alipofika Ikulu Mjini Zanzibar kwa ajili ya kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi Nchini.[Picha na Ikulu.]
Naibu Waziri Mhe.Ummy Azndua Miradi ya Kiuchumi ya Wenye Ulemavu
-
Na Mwandishi wetu- Dar es salaam
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy
Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo ik...
35 minutes ago
No comments:
Post a Comment