Habari za Punde

Uharibifu wa mazingira Mtambwe waathiri wananchi

 
SUALA la Mabadiliko ya Tabia ya nchi na uharibifu wa mazingira kwa kukatwa miti ya mikoko unaofanywa na wananchi wa Mtambwe na majirani zao, umekiwa ukiaathiri wananchi wa Mtambwe kwa kiasi kikubwa.
Pichani Eneo ambalo limekuwa ni Jangwa baada ya miti hiyo kukatwa kwa wingi.(Picha na Abdi Suleiman, Pemba.)

 KATIBU wa kikundi cha Mabadiliko Cooperative Society, kinachojishuhulisha na upandaji wa Mikoko, Othaman Omar Haji akiwaondoa adudu aina ya tondo katika moja ya mikoko, waliyopanda kwenye bonde la kwagando, ili wasiharibu vilele vya mti huyo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari kisiwani Pemba, wakikagua bwawa la samaki la kikundi cha Bora Utu Cooperative Society, huko Mtambwe nyali Wilaya ya Wete, bwawa ambalo hadi sasa limeshindwa kuwa na samaki tokea kuanzishwa mwaka 2011.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.