Ujumbe wa Manispaa ya Kiruna, Sweden waanza ziara ya kikazi Makunduchi ambapo wametembelea eneo linalopendekezwa kujengwa Chuo cha biashara, kitengo cha chuo kikuu huria cha Tanzania, maktaba ya kisasa na vitengo vyengine vya kutoa elimu. Kwenye picha muwekezaji mzalendo wa Makunduchi ndugu Ali Jussa akimuonyesha eneo la kujengwa chuo hicho ndugu Ove mwenye miwani nyeusi. Ndugu Ove ni mkuu wa miradi ya mashirikiano kati ya wadi za Makunduchi na Manispaa ya Kiruna. Wengine katika picha ni wajumbe wa Kamati ya wadi za Makunduchi
SERIKALI YAENDELEA KUIMARISHA UONGOZI NA USIMAMIZI WA ELIMU KUPITIA MAFUNZO
KWA VIONGOZI WA SHULE
-
NA EMMANUEL MBATILO, MICUZI TV
SERIKALI kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeendelea
kuimarisha uongozi na usimamizi wa elimu nchini kwa kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment