Ujumbe wa Manispaa ya Kiruna, Sweden waanza ziara ya kikazi Makunduchi ambapo wametembelea eneo linalopendekezwa kujengwa Chuo cha biashara, kitengo cha chuo kikuu huria cha Tanzania, maktaba ya kisasa na vitengo vyengine vya kutoa elimu. Kwenye picha muwekezaji mzalendo wa Makunduchi ndugu Ali Jussa akimuonyesha eneo la kujengwa chuo hicho ndugu Ove mwenye miwani nyeusi. Ndugu Ove ni mkuu wa miradi ya mashirikiano kati ya wadi za Makunduchi na Manispaa ya Kiruna. Wengine katika picha ni wajumbe wa Kamati ya wadi za Makunduchi
WACHINA WAWILI WAKAMATWA DAR WAKISAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA WALIZOWEKA
KATIKA ‘VITABU FEKI’
-
Na Said Mwishehe,Michuzi TV
WATUHUMIWA sita wakiwemo raia wawili wa China ambao wamefahamika kwa majina
ya Chein Bai na Qixian Xin wamekamatwa eneo la Post...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment