IMEKUWA
ni jambo la kawaida kwa madereva wa daladala kukiuka sheria ya usalama
barabarani kwa kuegesha daladala katika
eneo siyo salama kwa watumiaji wa barabara hiyo na kuleta usumbufu kwa wakati
wakiwa wameegesha, kama inavyoonekana daladala hizi zikiwa katika eneo la Donge
zikiwa zimeegeshwa kinyume na utaratibu wa sheria za barabara.
UDOM YAKUTANA NA WADAU KUCHAMBUA NAFASI YA AKILI UNDE KATIKA UTAWALA BORA
-
*Na Mwandishi Wetu, Dodoma*
*Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), kwa kushirikiana na wadau wa teknolojia na
wataalamu wa utawala wamekutana leo Jijini Dodom...
6 hours ago
Ni kweli daladala wana kero na maudhi mengi na hata ajali nyingi zinasabsbishwa nao LAKINI na serikali nayo jamani, hivi halo panastahiki kuwa stand kuu magari ya abiria. Utafikiri viongozi wetu hawajafika hata hapo Nairobi tu.
ReplyDelete