KUTOKANA na barabara ya Mgagadu - Kiwani wilaya ya Mkoani ujenzi wake kufanywa mwendo wa kusuasua, na kuwepo kwa vumbi jingi hasa katika kipindi hiki cha kiangazi, madereva hulazimika kutumia mifuniko maalumu kwenye gari zao ili kuwakinga abiria wao na vumbi ambalo ni hatari kwa afya zao, (Picha na Shemsia Khamis, Pemba).
Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ashiriki Kongamano la Amani kuelekea
Uchaguzi Mkuu wa 2025 Jijini Dar es Salaam.
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika ukumbi wa
Diamond...
53 minutes ago
Mwandishi ubunifu sawa, lakini bado kuna tatizo hapo. Ubunifu unazuia vumbi kuingia kwa wingi humo garinji lakini pia kuna athari nyengine ya 'suffocation' kwa kweli ni adha na shida tuu kwa viumbe sisi sijui tumeikosea nini serikali yetu. Dhiki na shida za maisha hazishi jamani, mpaka leo nchi vibarabara vyenye urefu usikifia hata 1000KM zinatushinda kuzijenga. Viongozi muyaone haya kabla ya umauti kukufikeni kwani mutakwenda kuulizwa.
ReplyDelete