KUTOKANA na barabara ya Mgagadu - Kiwani wilaya ya Mkoani ujenzi wake kufanywa mwendo wa kusuasua, na kuwepo kwa vumbi jingi hasa katika kipindi hiki cha kiangazi, madereva hulazimika kutumia mifuniko maalumu kwenye gari zao ili kuwakinga abiria wao na vumbi ambalo ni hatari kwa afya zao, (Picha na Shemsia Khamis, Pemba).
TRA, ZRA ZAWEKA MIKAKATI YA KUIMARISHA UTENDAJI KAZI WA MIPAKA YA TANZANIA
NA ZAMBIA
-
Na mwandishi wetu Tunduma
KAMISHNA Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Alphayo Kidata na
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Zambia (ZRA), Dingani Ban...
10 hours ago
Mwandishi ubunifu sawa, lakini bado kuna tatizo hapo. Ubunifu unazuia vumbi kuingia kwa wingi humo garinji lakini pia kuna athari nyengine ya 'suffocation' kwa kweli ni adha na shida tuu kwa viumbe sisi sijui tumeikosea nini serikali yetu. Dhiki na shida za maisha hazishi jamani, mpaka leo nchi vibarabara vyenye urefu usikifia hata 1000KM zinatushinda kuzijenga. Viongozi muyaone haya kabla ya umauti kukufikeni kwani mutakwenda kuulizwa.
ReplyDelete