Habari za Punde

Wabunge wa Tanzania Wakiwa katika Bunge la Afrika


Wabunge wa Tanzania wanaowakilisha katika Bunge la Afrika (Pan Afican Parliament), Mhe. Eng. Hamad Masauni (Kikwajuni) na Mhe. Luhaga Mpina (Kisesa) pamoja wabunge wenzao wakiwa makini kwenye Bunge la Afrika linaloendelea huko makao makuu ya Bunge hilo, Midrand, Afrika ya Kusini

4 comments:

  1. Siasa za kwetu bwana! yaani tumeshindwa kabisa kukitumia hiki KICHWA ipasavyo, watu kama Eng. Masauni wanastahili kupewa nafasi zaidi ya ubunge kama sio bara basi japo hapa Z'bar

    Huyu Eng. ni taipu ya akina MAHADHI, SAADA MKUYA, Prof. RAI na wachache wengine tulionao kwanini tusiwatumie..au ndio hivo tena?

    Ni kutokana na wazingira kama haya yasiyoeleweka ndio maana kijana mmoja wa kusini(sio kae) ambae ni dokta wa sheria sasa hivi analazimika kujifunza KIMAKUNDUCHI ili ajaribu bahati yake...yaani ukimkuta anavyojilazimisha kuzungumza kiti asichikijua, utaskitika!

    ReplyDelete
    Replies
    1. Engineer kwa maana ya Engineer khasa, ni Engineer wa kitu gani Mh Masauni?? Hebu naomba nasi tujuvye au umeshtushwa na title.

      Delete
  2. kweli hata mimi namkubali sana huyu jamaa, sio tu kwa sabababu ya huo uinjinia wake mana kuna wasomi kibao kazi maneno u, lakini jamaa kwa kweli ni mtendaji. Nadhani sijui kama kuna Mbunge aliefanya kazi kubwa Jimboni kwake kuliko huyu. Kwa anastahili pongezi

    ReplyDelete
  3. Kwa hapa kwetu, ukisema injinia kazma awe aidha wa ujenzi (civil engineer) , mechanics au automotives lakini aero-space, computer, electronics au chemical hazieleweki kuwa nazo ni engineerings

    Kwa mijibu wa kumbu kumbu za bunge nadhani mhe. amesoma electronic angineering tena Uk.

    ReplyDelete

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.