Maisha : Rais Dkt. Samia Ashiriki Ufunguzi wa Hema la Ibada ya Kanisa la
Arise and Shine Kawe Jijini Dar es Salaam
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu
Hassan akisogeza kitambaa kama ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata
utepe Ufu...
4 hours ago
Sijui CCM-Z'bar, inaelekea wapi kln. nijuavyo kuna njia nyingi za kumdhibiti mzee MOYO ili asiendelee kufanya upuuzi anaoufanya.
ReplyDeleteSidhani kama kumfukuza chama pekee kunaweza kukidhi haja, hii inaweza kuvuruga zaidi hali ya mambo na kuwafanya WAPINZANI waonekane kua kumbe sio chama 'jamii' fulani bali kama ilivyo CCM tu.
Sura ya kimapinduzi itaonekana ktk vyama vyote viwili na hatimae vijana washindwe kuona tofauti, na kufungua njia ya mwana CCM yeyote yule ambae mambo hayatomwendea vizuri ndani ya chama hata kama kihalali aone heri kuhamia upinzania kwa vile 'mwiko' umeshavunjwa!