Habari za Punde

Jaji Mkuu Zanzibar azindua Mahakama ya biashara


JAJI mkuu wa Zanzibar Mhe. Omar Othman Makungu akitoa hutuba wakati wa uzinduzi wa 
Mahakama ya biashara huko Mahakama kuu Vunga Zanzibar.
WASHIRIKI wa uzinduzi huo wakimsikiliza jaji mkuu.
WASHIRIKI wa uzinduzi huo wakimsikiliza jaji mkuu.
JAJI mkuu akikata utepe kuzindua mahakama ya biashara. 
Jaji Mkuu akifuahia jambo na Washiriki.
Picha ya pamoja

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.