Habari za Punde

Mafunzo ya kukabiliana na maafa kwa watu wenye ulemavu Wilaya ya Wete

 MKUU wa Idara ya Maafa Kisiwani Pemba, Khamis Arazak Khamis akiwaonyesha watu wenye ulemavu kisiwani Pemba, mpango mkakati wa kukabiliana na maafa Zanzibar, wakati wa mafunzo ya maafa kwa watu wenye ulemavu Wilaya ya Wete huko Jamhuri holi.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MRATIB wa kitengo cha walemavu mjumuisho Pemba, Kombo Ali Khatib akisoma sera wa kukabiliana na maafa Zanzibar, wakati walipokuwa wakipatia mafunzo ya kukabiliana na maafa kwa watu wenye ulemavu Wilaya ya Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MKUU wa Idara ya Maafa Kisiwani Pemba, Khamis Arazak Khamis akifungua mafunzo ya siku moja kwa watu wenye ulemavu Wilaya ya Wete, juu ya kukabiliana na maafa yanapotokea huko katika ukumbi wa jamhuri holi Wete.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.