Afisa Uhusiano wa
ZECO Salum Abdalla Hassan (meza kuu kulia) akiwafahamisha waandishi wa habari
juu ya utendaji wa kazi za Shirika la Umeme Zanzibar na namna ya kuripoti habari
katika mafunzo ya siku moja yaliyofanyika katika ukumbi wa Ecroternal mjini
Unguja.
Baadhi
ya wandishi wa habari walioshiriki katika mafunzo hayo
Mwandishi
wa habari kutoka Idara ya Habari Maelezo, Faki Mjaka akichangia mjadala wa
namna ya kuandika habari mbali mbali juu ya utendaji wa kazi za ZECO katika
mafunzo ya siku moja yaliyoendeshwa na ZECO na kuwashirikisha wandishi wa
habari kisiwani Unguja katika ukumbi wa Ecroternal.
No comments:
Post a Comment