Mwenyekiti wa
ZUPHE taifaDk.Zaharan Mohamed Nassor, akifungua mafunzo ya siku mbili kwa
wanachama wa chama hicho, yalioandaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar,
kulia ni Mratibu wa kituo hicho Fatma Khamis Hemed, na kushoto ni wakili wa
serikali Mohamed Juma,

Mratibu wa
kituo cha huduma za sheria Zanzibar, ZLSC tawi la Pemba Fatma Khamis Hemed akielezea
kazi za kituo hicho kwa wanachama wa chama cha wafanyakazi ‘ZUPHE’ kwenye
mafunzo ya siku mbili kwa wanachama hao, juu ya sheria za kazi, yaliofanyika
kituoni hapo, katikati ni Mwenyekiti wa ‘ZUPE’ taifa dk Zaharan Mohamed Nassor,
na kushoto ni wakili wa serikali Mohamed Juma,
Wanachama wa
ZUPHE wakimsikiliza mtoa mada juu ya kanuni ya utumishi wa umma ya mwaka 2014,
kwenye mafunzo ya sheria za kazi yalioandaliwa na kituo cha huduma sheria
Zanzibar ZLSC na kufanyika Chake chake Pemba
Mshiriki wa
mafunzo ya sheria za kazi ambae ni mwanachama wa ZUPHE, akiuliza swali kwenye
mafunzo hayo yalioandaliwa na kituo cha huduma za sheria Zanzibar ZLCS na
kufanyika kituoni hapo mjini Chake chake Pemba, (Picha na Haji Nassor, Pemba).
No comments:
Post a Comment