Habari za Punde

Mama Salma Ahutubia Mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika (OAFLA) Nchini Afrika Kusini

 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano wa Sandton Internationa Center unakofanyika mkutano wa wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika huko Johannesburg nchini Afrika Kusini tarehe 15.6.2015. Aliyefuatana na Mama Salma ni Mwenyekiti wa OAFLA anayemaliza muda wake Mama Hinda Derby Itno.
  Mke wa Rais Mama Saloma Kikwete akiangalia moja ya machapisho mbalimbali yanayohusiana na Mkutano wa Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika (OAFLA) unaofanyika nchini Afrika Kusini.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho kwenye kikao cha Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika kinachofanyika kwenye Ukumbi wa Sandton jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini 
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitoa hotuba yake ya mwisho kwenye kikao cha Wake wa Marais na Wakuu wa Nchi za Afrika kinachofanyika kwenye Ukumbi wa Sandton jijini Johannesburg nchini Afrika Kusini 
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akielekea kwenye ukumbi wa mkutano huku akifuatana na Mke wa Mfalme Mswati III wa Swaziland Inkoskati Lamagongo (katikati) na kushoto ni Msaidizi wa Mke wa Mfalme.
Wake wa Marais wakiwa katika picha ya pamoja baada ya ufunguzi wa Mkutano huo Nchini Afrika Kusini jana 15-6-2015

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.