Habari za Punde

Mtaalamu wa kupiga picha kutoka shirika la JICA la Japan aagwa rasmi

 Picha ya pamoja ya Mitsuhiro Matsuda na baadhi ya wanafunzi wake waliopata mafunzo ya miaka miwili ya kupiga na kusafisha picha katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Utamaduni Utalii na Michezo Mnazimmoja Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Znz.
 Afisa habari Mkuu wa Idara ya Habari Maelezo Ramadhani Ali akitoa maelezo ya mafunzo yaliyoendeshwa na Mtaalamu wa Japan  Mitsuhiro Matsuda katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara  ya  Habari Mnazimmoja  Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Znz.

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akitoa shukrani kwa mwalimu wa picha  kutoka Japan  Mitsuhiro Matsuda  katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Ofisini kwake Mnazimmoja.
 Mtaalamu wa kupiga picha kutoka Shirika la JICA la Japan Mitsuhiro Matsuda akizungumza katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Mnazimmoja Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Znz.

 aziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akimkabidhi zawadi  Mitsuhiro Matsuda zilizotolewa na Idara ha Habari Maelezo Zanzibar katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Mnazimmoja  Zanzibar
 aziri wa Habari Utamaduni Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akimkabidhi zawadi  Mitsuhiro Matsuda zilizotolewa na Idara ha Habari Maelezo Zanzibar katika hafla ya kumuaga iliyofanyika Wizara ya Habari Mnazimmoja  Zanzibar
Waziri wa Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Said Ali Mbarouk akiangalia baadhi ya picha za wanafunzi waliopata mafunzo ya  mwalimu  kutoka Shirika la JAICA  la Japan  Mitsuhiro  Matsuda katika hafla  ya kumuaga  iliyofanyika  Wizara Habari Mnazimmoja baada ya kumaliza muda wa miaka miwili ya kutoa mafunzo ya kupiga picha Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Znz.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.