Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amelazimika kusimamisha msafara wake kushuhudia ajali iliyotokea eneo la Mtoni kuelekea Bububu. Katika ajali hiyo mpanda vespa (jina halikufamika mara moja) amefariki papo hapo baada ya kugongwa na gari, huku msafara wa Maalim Seif ukikaribia eneo hilo. (Picha na Salmin Said, OMKR)
Washiriki zaidi ya 2000 kushiriki kongamano la mashirika yasiyo ya
kiserikali
-
WASHIRIKI zaidi ya 2000 kutoka ndani na nje ya Tanzania wanatarajiwa
kushiriki kongamano la mwaka la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs)
linalotara...
45 minutes ago
No comments:
Post a Comment