Bi. Monica Otavu,
Wakili wa Serikali Mkuu,
akizungumza wakati wa Mkutano wa
25 wa Nchi Wanachama wa Mkataba
wa Umoja wa Mataifa wa Sheria ya Bahari. Katika Mkutano huo wa wiki moja
pamoja na masuala mengine, wajumbe walitambua na kupongeza
mchango mkubwa unaofanywa na vyombo
vinavyoundwa na Mkataba huo . Vyombo hivyo ni Mahakama ya Migogoro ya Bahari , Kamisheni ya mwambao wa Bahari ( Commission on Limits of Continental
Shelf), na Mamlaka ya Kimataifa chini ya Bahari (
International Seabed Authority
WATUMISHI WA UMMA KIBAHAWatumishi watakiwa kutunza heshima za taasisi zao.
-
Na.Mwashamba Haji Juma
Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, amewataka
watumishi wa umma kuhakikisha wanatunza, kulinda na kukuza...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment