Pichani
ni Baadhi ya Wanafuzi wa Shule ya Feza Tanzania na viongozi wao ambao wapo
hapa Marekani kwa ziara ya mafunzo walipata nafasi ya kufika katika
uwakilishi wa kudumu wa Tanzania na walibadilishana mawazo na Naibu Mwakilishi wa Kudumu,
Balozi Ramadhan Mwinyi.
WATANZANIA WATAKIWA KUACHANA NA DHANA POTOFU KWAMBA NISHATI SAFI YA KUPIKIA
NI GHARAMA
-
Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umewasihi Watanzania kote nchini kuachana
na dhana ya kwamba Nishati Safi ya Kupikia ni gharama ikilinganishwa na
matumizi...
38 minutes ago
No comments:
Post a Comment