PIA haja kwa akina mama wanapopakiwa katika vyombo
vya maringi Mawili, kuwa waangalifu sana kwa kudhibiti vizuri nguo zao, pichani
wasamaria wema wakiikata nguo ya dada mmoja, ambaye jina lake halikufahamika
mara moja, baada ya kuganda katika Honda aliyokuwa amepakiwa.(Picha na Mwandishi Wetu, PEMBA.)
MAKAMU WA PILI WA RAIS WA ZANZIBAR -UFUNGUZI WA KONGAMANO LA MKUPONGEZA
RAIS WA ZANZIBAR
-
MAKAMU wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla, amesema katika
kipindi cha miaka mitano iliyopita, Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali
(WEMA)...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment