Habari za Punde

Ajali ya Gari Migombani Zenj

Gari ikiwa imepata ajali katika barabara ya migombani ikitokea mjini ikielekea Kiembesamaki na kupata ajali hiyo baada ya kumshinda kupanda vikuta na kupinduka upande wa pili wa barabara hiyo. katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kutokea madhara makubwa kwa dereva. 


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.