Gari ikiwa imepata ajali katika barabara ya migombani ikitokea mjini ikielekea Kiembesamaki na kupata ajali hiyo baada ya kumshinda kupanda vikuta na kupinduka upande wa pili wa barabara hiyo. katika ajali hiyo hakuna mtu aliyejeruhiwa wala kutokea madhara makubwa kwa dereva.
DKT TULIA ATOA RAI KWA WAANDISHI KUHABARISHA JAMII KUHUSU MAZINGIRA.
-
Na Janeth Raphael -MichuziTv -Dodoma
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Raisi wa Umoja wa
Mabunge Duniani (IPU) Dkt Tulia Ackson amaetoa...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment