Gavana Mkuu wa Benki ya Tanzania Prof, Benno Ndulu, akifungua mkutano wa Magavana wa
Mabenki Kuu ya Nchi za Afrika Mashariki
kuzungumzia mzunguko wa Fedha katika Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki
uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Melia Pwani Mchani Zanzibar, KULIA
Gavana wa Benki Kuu yas Kenya Dk. Patrick Njoronge
Wajumbe wa kutoka IMF wakifuatilia Mkutano Magavana wa Nchi za Afrika Mashariki kuzungumzia masuala ya uchumi wa Nchi zao. 
Maofisa wa Benki Kuu ya Tanzania wakifuiatilia Mkutano huo wakati wa ufunguzi wake uliofanywa na Gavana Mkuu wa Benki Kuu ya Tanzania Prof Benno Ndulu.katika ukumbi wa Hoteli ya Melia Pwani Mchangani Zanzibar
No comments:
Post a Comment