Habari za Punde

PBZ Ikishiriki katika Kongamano la Diaspora Hoteli ya Serena Dar

Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushireikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe alipotembelea banda la PBZ wakati wa maonesho ya Kongamalo la Madiaspora linalifanyika katika hoteli ya Serena Jijini Dar-es-Salaam.PBZ, inatowa hutuma za kibenki kwa Diaspora walioko nje ya Tanzania katika masuala ya kibenki kuweka.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.