Kaimu Mkurugenzi Masoko wa Benki ya Watu wa Zanzibar Seif Suleiman akisalimiana na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushireikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe alipotembelea banda la PBZ wakati wa maonesho ya Kongamalo la Madiaspora linalifanyika katika hoteli ya Serena Jijini Dar-es-Salaam.PBZ, inatowa hutuma za kibenki kwa Diaspora walioko nje ya Tanzania katika masuala ya kibenki kuweka.
BENKI YA STANDARD CHARTERED YAFANYA USAFI RUNGWE BEACH
-
Benki ya Standard Chartered Tanzania kwa kushirikiana na taasisi ya NIPE
FAGIO wamefanya zoezi la usafi katika fukwe za Rungwe Beach, jijini Dar es
Salaam,...
53 minutes ago
No comments:
Post a Comment