Habari za Punde

Rais Kikwete Akabidhiwa Kombe la Kagame CECAFA Toka kwa Timu ya Azam FC Ikulu Dar es Salaam leo

 Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete akimsiliza Kiongozi wa Timu ya Azam ambao ni Mabingwa wa Kombe la Kagame wakati walipofika Ikulu kumkabidhi Kombe hilo, baada ya kuibuka mabingwa kwa mwaka huu.  


 Rais Jakaya Mrisho kikwete akikabidhiwa kombe la ubingwa michuano ya  Kagame ya CECAFA  na nahodha wa  
mabingwa wa Tanzania Azam FC walipofika Ikulu jijini Dar es salaam kumkabidhi kombe hilo Ikulu jijini Dar es salaam leo Agosti 6, 2015

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.