Wanakaya Maskini sana wa Shehia ya Vitongoji wakisuburi walipaji wa fedha kutoka mradi wa Tasaf 3 kwa jili ya kunusuru kaya Maskini .
Mwana kaya Maskini wa Shehia ya Vitongoji akiweka saini kwenye fomu maalumu ya malipo ya kaya maskini huko Vitongoji akiwa katika harakati za kupatiwa malipo hayo kutoka kwa Watendaji wa Tasaf Pemba.
Naibu Katibu mkuu wa Ofisi ya Makamo wa pili wa Rais Zanzibar, Ahmada Kassim Haji, akifuatlilia zoezi la ulipaji kwa Shehia mpya ya Vitongoji na Ng'ambwa katika Mradi wa Tasaf 3 wa kunusuru kaya Maskini sana .
Picha na Bakar Mussa -Pemba.
Naibu Katibu mkuu wa Ofisi ya Makamo wa pili wa Rais Zanzibar, Ahmada Kassim Haji, akifuatlilia zoezi la ulipaji kwa Shehia mpya ya Vitongoji na Ng'ambwa katika Mradi wa Tasaf 3 wa kunusuru kaya Maskini sana .
Picha na Bakar Mussa -Pemba.
No comments:
Post a Comment