Habari za Punde

Tathmini ya Mradi wa Utawala Bora na Haki za Binaadamu Pemba

 MKURUGENZI wa Mazingira Zanzibar Juma Bakari Alawi, akitoa maelezo ya Mradi wa Utawala Bora na Haki za Binaadamu kwa wananchi wa Shehia ya kilindi, Unaoendeshwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake wa Tundauwa huko katika skuli ya Kilindi kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANANCHI wa shehia ya Kilindi Wilaya ya Chake Chake Pemba, wakiwa katika kazi za vikundi juu ya Tathmini ya Mradi wa Utawala Bora na Haki za Binaadamu, ulioendeshwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake wa Tundauwa huko katika skuli ya Kilindi Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MWALIMU Salim Ali Salimu akiwasilisha mapendekezo ya kazi za vikundi, juu ya Tathmini ya Mradi wa Utawala Bora na Haki za Binaadamu, ulioendeshwa na Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake wa Tundauwa huko katika skuli ya Kilindi kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
SHEHA wa Shehia ya Kilindi Wilaya ya Chake Chake, Abuu Abrahman Salum, akitoa shukurani zake kwa Jumuiya ya Maendeleo ya Wanawake ya Tundauwa, kwa kumaliza salama mradi wa Utawala Bora na Haki za Binaadamu, huko katika skuli ya Kilindi Msingi kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.