Habari za Punde

Uchaguzi wa mgombea Uwakilishi na Ubunge kupitia UVCCM Pemba

 KATIBU wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba Mbwana Zubeir, akitoa taarifa fupi ya UVCCM ya mkoa huo kabla ya wajumbe wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba, kupiga kura za kuchagua Mbunge na Mwakilishi kupitia Umoja wa Vijana Mkoa kusini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WAJUMBE wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba, wakiwasikiliza kwa makini wagombea wa Ubunge na Uwakilishi kupitia Umoja huo, huko katika tawi la CCM Makombeni Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba Ali Juma Nassor, akitoa nasaha zake kabla ya wajumbe wa UVCCM Mkoa huo kupiga kura na kuchagua Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo, Uchaguzi huo uliofanyika katika tawi la CCM Makombeni Wilaya ya Mkoani Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MWENYEKITI Mstaafu wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba Issa Juma Othman, akifungua uchaguzi wa UVCCM Mkoa wa kusini Pemba, Uchaguzi huo uliofanyika huko katika Tawi la CCM Makombeni Wilaya ya Mkoani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo

  Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo
  Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo
  Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo
  Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo
  Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo
 Mmoja wa wagombea Ubunge na uwakilisha kupitia UVCCM Pemba akijeleza na kunadi mikakati yake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi Mbunge na Mwakilishi wa Umoja huo

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.