Habari za Punde

Wanachama wa Jumuiya ya Qamer watembelea makumbusho Pemba

 AFISA mdhamini Ofisi ya Mkamo wa kwanza wa Rais Pemba, Fatma Mohamed Omar akitoa maelezo kwa wanachama wa Jumuiya ya Qamer ya Nchini Canada, wakati walipofika katika jumba la Makumbusho Pemba, kwa lengo la kuangalia mambo mbali mbali ya kale yaliyokuwemo kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 WANACHAMA wa Jumuiya ya Qamer kutoka nchini Canada, wakiangalia ngalia vitu vya kale vilivyomo ndani ya moja ya vyumba vilivyomo ndani ya Jumba la makumbusho kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
 MMOJA ya wanachama wa Jumuiya ya Qamer kutoka nchini Canada, Abdull-Hakim akiwafahamisha wanajumuiya wenzake jinsi ya wafungwa wanavyoishi wakiwa Jela, baada ya wanajumuiya hao kutembelea jumba la makumbusho Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
BAADHI ya wanachama wa jumuiya ya Qamer ya Nchini Canada, wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kumaliza kutembelea jingo la makumbusho Kisiwani Pemba na kuangalia vitu mbali mbali vilivyomo ndani ya jumba hilo.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.