Mkufunzi wa Mafunzo ya Tehama Ndg Omar.S.Saleh akitowa mafunzo kuhusiana na System and Network Secirity, kwa washiriki wa Mafunzo hayo kutoka Taasisi za Serikali na Binafsi, yalioandaliwa na Tanzania Network Operators Group Training (Tznog) yanayofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Mkufunzi askitowa mafunzo kwa Maofisa Wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano TEHAMA yanayofanyika katika hoteli ya Zanzibar Ocean View Kilimani Zanzibar.
Washiriki wakifuatilia mafunzo hayo kwa vitendo.
No comments:
Post a Comment