Kadhi wa Wilaya ya
Wete Mohammed Ali Hamda, akiswalisha swala ya pamoja ya laasi iliyoambatana na
dua ya kuombea nchi amani kuelekea katika uchaguzi mkuu, swala hiyo
iliyofanyika katika viwanja vya jadida Wete Mkao wa kaskazini Pemba.
Waumini mbali mbali
wa dini ya Kiislamu Wilaya ya Wete wakiwa katika swala ya pamoja huko katika
viwanja vya Jadida Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, swala hiyo iliyoambatana na
dua ya kuiombea nchi amani
Waumini mbali mbali
wa Dini ya Kiislamu Wilaya ya Wete, wakisikiliza nasaha zilizokuwa zikitolewa
na Mkuu wa Wilaya ya Wete Mhe:Hassan Khatib Hassan hayupo pichani, mara baada
ya kumalizika kwa dua ya kuombea nchi amani huko katika viwanja vya Jadida Wete
Kisiwani Pemba
Amiri wa Jumuiya ya
JUMAZA Wilaya ya Wete Shekh Ghazal Abdalla, akitoa nasaha zake kwa wa Umini
mbali mbali wa Dini ya Kiislamu, wakiofika kuitikia dua ya Pamoja ya kuiombea
nchi amani kuelekea Uchaguzi Mkuu katika kiwanja cha Jadida Wete Pemba
Kadhi Mkuu wa Wilaya
ya Wete Mohamed Ali Hamad, akizungumza na waumini wa dini Dini ya Kiislamu,
wakiofika kuitikia dua ya Pamoja ya kuiombea nchi amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
katika kiwanja cha Jadida Wete Pemba
Kadhi Mkuu wa Wilaya
ya Wete Mohamed Ali Hamad, akiomba dua ya mara baada ya kumalizika kwa swala ya
Pamoja iliyoswaliwa katika Viwanja vya Jadida Wete Pemba, swala hiyo
iliyoambatana na dua ya Pamoja ya kuiombea nchi amani kuelekea Uchaguzi Mkuu
katika kiwanja cha Jadida Wete Pemba
Waumini mbali mbali
wa dini ya Kiislamu wanawake wakiitikia dua ya kuombea nchi amani kuelekea
Uchaguzi Mkuu, dua hiyo iliyotolewa na Shekh Massoud Shaaba ambaye hayupo
pichani, huko katika viwanja vya Jadida Wete Pemba
Mkuu wa Wilaya ya Wete Mhe:Hassan Khatib Hassan katikati,
akiungana na waumini mbali mbali wa dini ya Kiislamu katika kuitikia dua ya
pamoja ya kuiombea nchi amani, dua hiyo iliyofanyika katika viwanja vya Jadida
Wete Kisiwani Pemba.
(Picha na Abdi
Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment