Habari za Punde

ZEC yabandika Picha na Fomu za Wagombea wa Urais wa Zanzibar katika Ubao kwa Ajili ya Pingamizi baada ya kukamilika zoezi la Kurejesha Fomu hizo kwa Wagombea.


Picha za Wagombea Urais zikiwa katika bao la Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutowa nafasi kwa mwenye pingamizi kupinga mgombea wa Urais wa Zanzibar. Litakuwa limewekwa jana jioni kwa muda wa masaa 24 kuazia jana.  

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.