Picha za Wagombea Urais zikiwa katika bao la Tume ya Uchaguzi Zanzibar kutowa nafasi kwa mwenye pingamizi kupinga mgombea wa Urais wa Zanzibar. Litakuwa limewekwa jana jioni kwa muda wa masaa 24 kuazia jana.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment