Habari za Punde

Uzinduzi wa Kampeni za ACT Wazalendo, Jimbo la Kojani Pemba


 MWENYEKITI wa chama cha Siasa cha ACT Wazalendo Mkoa wa kaskazini Pemba Maryam Ali Hamad, akifungua mkutano wa hadhara kwa chama hicho, Huko katika kiwanja cha Kangagani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
 MAKAMO Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Taifa Shaban Mambo, akizungumza na wananchi wa shehia ya Kangagani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa uzinduzi wa kampenzi za Chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
 MGOMBEA Mwenza Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ACT Wazalendo, Mhe:Hamad Yussuf akizungumza na wananchi wa kangagani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa ufunguzi wa kampenzi za Chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
 WAGOMBEA mbali mbali wa Chama cha ACT Wazalendo kisiwani Pemba, wakitambuliwa kwa wananchi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho, huko katika viwanja vya Kangagani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa kaskazini Pemba.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)
 WANANCHI wa Shehia ya Kangagani Jimbo la Kojani Wilaya Ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakiwasikiliza kwa makini wagombea Urais wa Tanzania na Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama cha ACT Wazalendo, wakati wa uzinduzi wa kampenzi za Chama hicho Kisiwani Pemba.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)


  MGOMBEA wa Urais wa Zanzibar kupitia chama cha ACT Wazalendo Mhe:Khamis Iddi Lila, akizungumza na wananchi wa Kangangani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa kasikazini Pemba, wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)

MGOMBEA Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kupitia chama cha ACT Wazalendo Mhe:Anna Elisa Mghwira, akizungumza na wananchi wa kangagani Jimbo la Kojani Wilaya ya Wete Mkoa wa Kaskazini Pemba, wakati wa uzinduzi wa kampenzi za Chama hicho.(Picha na Abdi Suleiman.PEMBA.)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.