MWANACHAMA wa ADC Shaniani akisoma utenzi wakati wa uzinduzi wa kampeni za chama hicho kwa jimbo la Kiwani huko katika kiwanja cha Mpira Kengeja Wilaya ya Mkoani.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA Urais kupitia wa Zanzibar kupitia chama cha
ADC Mhe:Hamad Rashid Mohamed, akiwa pamoja na viongozi wenzake wa chama hicho
wakati wa uzinduzi wa kampenzi za jimbo la Kiwani huko katika uwanja wa mpira
Kengeja.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
MGOMBEA urais wa Zanzibar kupitia chama cha ADC Mhe:Hamad
Rashid Mohamed, akizungumza na wananchi wa jimbo la Kiwani Wilaya ya Mkoani,
wakati wa uzinduzi wa kampeni za jimbo hilo huko katika uwanja wa mpira Kengeja.(Picha na Abdi Suleiman, PEMBA.)
No comments:
Post a Comment