Rais Mstaafu wa awamu Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, kwa Mhe. Rais wa China Xi Jinping, wakati walipokutana kwenye Mkutano wa Tano wa Wakuu wa Nchi za Afrika na China uliofanyika leo Jijini Johannesburg. Mhe Rais Mstaafu amehudhuria Mkutano huo kama Rais Mstaafu. Picha na OMR
BEYOND THE HEADLINES: ANALYZING THE CCM 2025-2030 ELECTION MANIFESTO.
-
A manifesto is a clear statement of purpose. It lays out what matters, what
> will be done, and how. Released ahead of a General Election, it sets out ...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment