Moto mkubwa unaendelea kuwaka mitaa ya Kiponda mjini Unguja jirani na msikiti wa Shia Ithnasheria. Jitihada za kuuzima moto huu zinaendelea ila jitihada za ziada zinahitajika za msaada wa magari ya maji baada ya Magari ya zimamoto kuishiwa na maji na kwenda kuyafuata wakati wakijaribu kuuzima moto huo.
Habari : JamiiAfrica , UTPC na IMS Wazindua mradi wa kulinda usalama wa
Waandishi wa Habari Tanzania
-
Na Kadama Malunde - Malunde 1 blog
Umoja wa Klabu za Waandishi wa Habari Tanzania (UTPC) kwa kushirikiana na
JamiiAfrica na taasisi ya kimataifa ya I...
1 hour ago
Hii habari mbona hatujapata update zozote? Au ndo umeme haujarudi bado?
ReplyDelete